Maaskofu Wajerumani: Papa Francis Hana Shida Na Ekaristi Kwa Waprotestanti
Kulingana naye repoti zinazotoa kauli tofauti, ni "zenye uongo".
Mkano huo unathiditisha kwamba Kadinali wa Munich Reinhard Marx atakutana na Papap Francis kulijadili suala hilo.
Matokeo ya mkutano huo yanaweza kutabiriwa: Francis atasababisha taharuki na kuvikubalisha vyama vyote kudai kwamba anaviunga mkono huku akikubali Ekaristi kwa Waprotestanti.
Ekaristi kwa Waprotestanti imedukizwa katika Kanisa "Katoliki" nchini Ujerumani kwa miongo mingi. Kasisi Mkatoliki ambaye angekataa kulifanya hili, hakueza kuushikilia wadhfa wake.
Picha: Reinhard Marx, © Maik Meid, CC BY-SA, #newsPkuvleqvdz